We have received, not the spirit of the world, but the Spirit who is from God, that we might know the things that have been freely given to us by God. 1 Corinthians 2:12, NK...
-
-
Wahudumu wa Kambi la Busegwe 2020
Pr. PHILEMON MACHUGU(Mhutubu mkuu), Pr. CHARLES KITANITA, Pr. PAUL MALINDI Na Mwinjilisti PAUL OUMA. Kwa watoto walihudumiwa na Madam Consolata (Buhemba) na Maria Chacha(Mama Pasta Chacha)
-
Kanisa letu
BUSEGWE SECONDARY SDA CHURCH
-
Huduma za kanisa
Washiriki wakisikiliza Neno la Mungu
-
Huduma za uimbaji
MUHUBIRI ADVENTISTS CHOIR (Kwaya ya kanisa)
VERSE OF THE DAY - July 30, 2020
AFYA YETU - FAHAMU FAIDA ZA PARACHICHI (AVOCADO) KWA MAMA MJAMZITO

PARACHICHI ni miongoni mwa tunda zuri sana kwa mama mjamzito kwa sababu lina wingi wa madini ya pottasium, folate, vitamins C, E, & B6 ambazo huimarisha utengenezaji wa ubongo na mfumo wa fahamu wa mtoto kwa ujumla.Vilevile husaidia sana katika kumkinga mtoto dhidi ya hatari ya kuzaliwa na tatizo la mgongo wazi (Meningocele)....
VERSE OF THE DAY - July 24, 2020
AFYA YETU - FAHAMU MAGONJWA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO (URETHRAL STRICTURE)
Mrija wa mkojo (urethra) ni njia ya kutolea mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu na unapoziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa tabu na kusababisha maumivu makali sana. Kitaalamu kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa urethral stricture na husababishwa na kovu linalotokea katika sehemu ya mrija baada ya mtu kuumia, kufanyiwa upasuaji au kupona magonjwa...
VERSE OF THE DAY - July 22, 2020
VERSE OF THE DAY - July 19, 2020
AFYA YETU *IJUE SARATANI YA MATITI (BREAST CANCER )*
Saratani ni aina ya ugonjwa unaosababisha ukuaji wa seli za mwili kubadilika na kukua bila mpangilio maalum.Saratani ya matiti hutokea kwenye titi ambalo kwa kawaida lina sehemu ya kutengeneza maziwa ijulikanayo kama lobules na aina fulani ya mishipa inayounganisha hizi lobules na chuchu za titi. Sehemu kubwa iliyobakia ya matiti inajumuisha mafuta...
WATCH OUT - MAHAFALI YA KIDATO CHA SITA BUSEGWE GIRLS HIGH SCHOOL 2020 - BUSEGWE SEC...
Hafla ya kuwaaga wahitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wasichana Busegwe yaliyofanyika kanisa la Waadventista Wasabato mtaa wa Busegwe sekondari - June 27, 2...