-
-
Wahudumu wa Kambi la Busegwe 2020
Pr. PHILEMON MACHUGU(Mhutubu mkuu), Pr. CHARLES KITANITA, Pr. PAUL MALINDI Na Mwinjilisti PAUL OUMA. Kwa watoto walihudumiwa na Madam Consolata (Buhemba) na Maria Chacha(Mama Pasta Chacha)
-
Kanisa letu
BUSEGWE SECONDARY SDA CHURCH
-
Huduma za kanisa
Washiriki wakisikiliza Neno la Mungu
-
Huduma za uimbaji
MUHUBIRI ADVENTISTS CHOIR (Kwaya ya kanisa)
MATUKIO KATIKA PICHA: SABATO YA Trh19/12/2020 - Kumuaga Mwl DICKSON MKAMA (MHUBIRI ADVENTIST CHOIR)
SABATO TAKATIFU – JUMAMOSI 19/12/2020 - HUDUMA KUU

SOMO: USIKU UNAPOINGIA
MHUBIRI: Mwl. MKAMA DICKSON
FUNGU KUU: Kutoka
29:45-46
Mhubiri alianza na kisa alichopitia maishani mwake. Mnamo
mwaka 2019 akiwa jijini Dodoma
akifanya biashara zake miaka miwili baada ya kuoa, kwa bahati mbaya yeye na wenzeke kumi
walikamatwa na maofisa wa jeshi la polisi na kuwekwa...
NEW AUDIO: NINAYO HAJA - MHIBIRI ADVENTIST CHOIR

Ninayo haja ni wimbo kutoka kwaya ya kanisa la Waadventista Wasabato Busegwe sekondariWimbo huu unalenga umuhimu wa kumsifu Mungu wa mbinguni kupitia Mwokozi wetu Bwana Yesu. Unapoendelea kusikiliza wimbo huu tafakari ni jinsi gani amekuvusha na kukushindia changamoto mbalimbali. Barikiwa sana mtumishi katika Bwana.Bwana...
VERSE OF THE DAY - 18th Dec 2020
VERSE OF THE DAY - December 8, 2020
VERSE OF THE DAY - December 7, 2020
VERSE OF THE DAY - December 4, 2020
Watch out - FORM FOUR Pre-GRADUATION 2020 - BUSEGWE GIRLS' HIGH SCHOOL
Kufungua Sabato na Pr. Endson MabambaJumamosi - Shule ya Sabato & Huduma kuuJ'mosi jioni - Igizo kutoka kidato cha nne, Uimbaji, Sintosahau, Ushauri kutoka kwa watumishi, kufunga sab...
VERSE OF THE DAY - December 3, 2020
VERSE OF THE DAY - December 2, 2020
Ephesians 2:8-9 KJV For by grace are ye saved through faith; and that not of yourselves: it is the gift of God:
Not of works, lest any man should boast. ...
VERSE OF THE DAY - November 25, 2020
Zaburi 9:1-21 Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
2 Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu....
SABATO TAKATIFU - JUMAMOSI 21/11/2020 - BUSEGWE SEC SDA CHURCH
VERSE OF THE DAY - November 15, 2020
VERSE OF THE DAY - November 2, 2020
Daily Devotional - Doing Well on the Sabbath Honors the Day
Of how much more value then is a man than a sheep? Therefore it is lawful to do good on the Sabbath. Matthew 12:12, NKJV._When questioned, "Is it lawful to heal on the sabbath days?" Jesus answered, "What man sh...
AUDIO: NATAMANI by MHUBIRI ADVENTIST CHOIR

NATAMANI ni wimbo wa dini kutoka *MHUBIRI ADVENTISTS CHOIR* (Kwaya ya kanisa la Wasabato la Busegwe sekondari) wenye maudhui ya kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji.Mtunzi ni Mwl. Emmanuel Wandiba, Guitar by Pr. Chacha Y. MarwaWaimbaji :SOLO Verse 1 - MASATU KAYORASOLO Verse 2 - IRENE SAMWEL *Sauti ya kwanza* - IRENE SAMWEL,...
Daily Devotional - Seek Divine Wisdom in Handling Money
His Lord said to him, "Well done, good and faithful servant; you were faithful over a few things, I will make you ruler over many things. Enter into the joy of your lord." Matthew 25:21, NKJV.[Brother C] is in...
VERSE OF THE DAY - October 21, 2020
Have you heard ‘BATIMAYO’ by MHUBIRI ADVENTISTS CHOIR? Sikiliza hapa sasa!

BATIMAYO ni wimbo wa dini kutoka *MHUBIRI ADVENTISTS CHOIR* (Kwaya ya kanisa la Waadventista Wasabato - Busegwe sekondari) mtunzi ni Mwl. Dickson Mukama wenye maudhui ya kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji. Waimbaji : *Sauti ya kwanza*
- IRENE SAMWEL, FLORA MASINDE, GRACE YESSAYA, JACKLINE KABOHE, FLORA...
WE WISHES YOU HAPPY SABBATH - October 17, 2020
Daily Devotional - To Win Souls, Forgo Personal Gain
I know how to be abased, and I know how to abound. Everywhere and in all things I have learned both to be full and to be hungry, both to abound and to suffer need. I can do all things through Christ who strengthens ...
VERSE OF THE DAY - October 13, 2020
AUDIO: Nimesikia wito - MHUBIRI ADVENTISTS CHOIR

Sikiliza na ku'download hapa:NIMESIKIA WITO ni wimbo wa dini kutoka *MHUBIRI ADVENTISTS CHOIR* (Kwaya ya kanisa la Wasabato la Busegwe sekondari) mtunzi ni Mwl. Emmanuel Wandiba wenye maudhui ya kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji. Waimbaji : *Sauti ya kwanza* - IRENE SAMWEL, FLORA MASINDE, GRACE YESSAYA,...