-
-
Wahudumu wa Kambi la Busegwe 2020
Pr. PHILEMON MACHUGU(Mhutubu mkuu), Pr. CHARLES KITANITA, Pr. PAUL MALINDI Na Mwinjilisti PAUL OUMA. Kwa watoto walihudumiwa na Madam Consolata (Buhemba) na Maria Chacha(Mama Pasta Chacha)
-
Kanisa letu
BUSEGWE SECONDARY SDA CHURCH
-
Huduma za kanisa
Washiriki wakisikiliza Neno la Mungu
-
Huduma za uimbaji
MUHUBIRI ADVENTISTS CHOIR (Kwaya ya kanisa)
MATUKIO KATIKA PICHA: SABATO YA Trh19/12/2020 - Kumuaga Mwl DICKSON MKAMA (MHUBIRI ADVENTIST CHOIR)
SABATO TAKATIFU – JUMAMOSI 19/12/2020 - HUDUMA KUU

SOMO: USIKU UNAPOINGIA
MHUBIRI: Mwl. MKAMA DICKSON
FUNGU KUU: Kutoka
29:45-46
Mhubiri alianza na kisa alichopitia maishani mwake. Mnamo
mwaka 2019 akiwa jijini Dodoma
akifanya biashara zake miaka miwili baada ya kuoa, kwa bahati mbaya yeye na wenzeke kumi
walikamatwa na maofisa wa jeshi la polisi na kuwekwa...
NEW AUDIO: NINAYO HAJA - MHIBIRI ADVENTIST CHOIR

Ninayo haja ni wimbo kutoka kwaya ya kanisa la Waadventista Wasabato Busegwe sekondariWimbo huu unalenga umuhimu wa kumsifu Mungu wa mbinguni kupitia Mwokozi wetu Bwana Yesu. Unapoendelea kusikiliza wimbo huu tafakari ni jinsi gani amekuvusha na kukushindia changamoto mbalimbali. Barikiwa sana mtumishi katika Bwana.Bwana...
VERSE OF THE DAY - 18th Dec 2020
VERSE OF THE DAY - December 8, 2020
VERSE OF THE DAY - December 7, 2020
VERSE OF THE DAY - December 4, 2020
Watch out - FORM FOUR Pre-GRADUATION 2020 - BUSEGWE GIRLS' HIGH SCHOOL
Kufungua Sabato na Pr. Endson MabambaJumamosi - Shule ya Sabato & Huduma kuuJ'mosi jioni - Igizo kutoka kidato cha nne, Uimbaji, Sintosahau, Ushauri kutoka kwa watumishi, kufunga sab...
VERSE OF THE DAY - December 3, 2020
VERSE OF THE DAY - December 2, 2020
Ephesians 2:8-9 KJV For by grace are ye saved through faith; and that not of yourselves: it is the gift of God:
Not of works, lest any man should boast. ...