...
-
-
Wahudumu wa Kambi la Busegwe 2020
Pr. PHILEMON MACHUGU(Mhutubu mkuu), Pr. CHARLES KITANITA, Pr. PAUL MALINDI Na Mwinjilisti PAUL OUMA. Kwa watoto walihudumiwa na Madam Consolata (Buhemba) na Maria Chacha(Mama Pasta Chacha)
-
Kanisa letu
BUSEGWE SECONDARY SDA CHURCH
-
Huduma za kanisa
Washiriki wakisikiliza Neno la Mungu
-
Huduma za uimbaji
MUHUBIRI ADVENTISTS CHOIR (Kwaya ya kanisa)
VERSE OF THE DAY - September 29, 2020
VERSE OF THE DAY - September 28. 2020
VERSE OF THE DAY - September 25, 2020
VERES OF THE DAY - September 24, 2020
ADRA THANKSGIVING TO BUSEGWE SDA DISPENSARY 2020
VERSE OF THE DAY - September 23, 2020
VERSE OF THE DAY - September 22, 2020
VERSE OF THE DAY - September 21, 2020
AFYA YETU - TATIZO LA KUKOSA HEDHI (AMENORRHEA) NI CHANZO CHA UGUMBA.
Kwa Kawaida ili mwanamke apate hedhi katika mzunguko ulio Sawa ni lazima tezi ya hypothalamus na pituitar pamoja na kiwanda cha mayai(ovaries) viwe vinafanya kazi kwa ushirkiano yani sawasawaVYANZO VYA TATIZO HILI.Vyanzo vya tatizo hili vyaweza kuwekwa katika Makundi makuu matatu ambayo ni vile vinavyohusisha matatizo katika mfumo wa homoni, vile vinavyohusisha...